A TOWN BOYS ARUSHA

Wyre Alaine BeeMan JohMakini,Manbatoo na YungOmega

Ikiwa ni mwaka mzima wa ukimya kwa Studio mix zinazojulikana kama "Rudmixx" zilizo tamba sana katika kumbi za starehe na digital player zetu, Pata kuenjoy weekend yako kiparty zaidi na Mix hii mpya toka kwa Defxtro ikiwa imetumika nyimbo ya "NAKUPENDA PIA" ya Mkali wa Dancehall Wyre na Alaine huku zikiskika ladha za ki-Deejay toka kwa BeeMan, JohMakini, Manbatoo na YungOmega, Hii ni kwa Enjoyment pekee na sio Biashara, All original rights remain with the respective artists representing this Musical Work of the Deejayin Art,Download HAPA and Enjoy
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment